![S500 TV](/img/default-banner.jpg)
- Видео 1 017
- Просмотров 10 844 152
S500 TV
Добавлен 10 май 2022
S500 TV :TRUSTED DIGITAL CREATIVE CONTENT MAWASILIANO NJOO DM INSTAGRAM (s500_tv)
TUMEANZA KAZI RASMI MAY 2023
SIRI KUBWA YA SISI KUFANYA VIZURI NA KUITEKA JAMII NI UBORA WA MAUDHUI YETU..HUTOJUTIA KUTAZAMA VIDEO ZETU
KUBALI KUWA MWANAFAMILIA MPYA WA S500 TV- The Digital creative content
:
✔️TUNAFANYA STORI ZA BURUDANI
✔️TUNAFANYA STORI ZA MICHEZO
✔️STORI ZA MASLAHI YA NCHI "PUBLIC CONTENT"
✔️ UBUNIFU WETU (MAUDHUI YETU)
❌ STORI ZA KUMVUA UTU MSANII AU KUMSHUSHA BRAND (HATUFANYI) AMA KWENDA SAWA UPEPO WA MITANDAO KUHUSU KASHFA YOYOTE YA MSANII AMBAYO BADO HAIJATHIBITIKA.
❌STORI ZA UCHOCHEZI AMA ULENGO HASI WA KUVURUGA AMANI (HATUFANYI)
❌KICHWA CHA HABARI AU COVER YA VIDEO KUWA TOFAUTI NA KILICHOKUWA NDANI (HATUFANYI)
:
TUNAKUOMBA AMINI KILE TUNACHOKUPA HUTOJUTIA KUTAZAMA KONTENTI ZETU.
KILA VIDEO INAYOPANDA KWENYE TV HII INA THAMANI KWAKO.
"KARIBU S500 TV (THE DIGITAL CREATIVE CONTENT)
"ARDHI YA UBUNIFU NA MAPAMBANO"
TUMEANZA KAZI RASMI MAY 2023
SIRI KUBWA YA SISI KUFANYA VIZURI NA KUITEKA JAMII NI UBORA WA MAUDHUI YETU..HUTOJUTIA KUTAZAMA VIDEO ZETU
KUBALI KUWA MWANAFAMILIA MPYA WA S500 TV- The Digital creative content
:
✔️TUNAFANYA STORI ZA BURUDANI
✔️TUNAFANYA STORI ZA MICHEZO
✔️STORI ZA MASLAHI YA NCHI "PUBLIC CONTENT"
✔️ UBUNIFU WETU (MAUDHUI YETU)
❌ STORI ZA KUMVUA UTU MSANII AU KUMSHUSHA BRAND (HATUFANYI) AMA KWENDA SAWA UPEPO WA MITANDAO KUHUSU KASHFA YOYOTE YA MSANII AMBAYO BADO HAIJATHIBITIKA.
❌STORI ZA UCHOCHEZI AMA ULENGO HASI WA KUVURUGA AMANI (HATUFANYI)
❌KICHWA CHA HABARI AU COVER YA VIDEO KUWA TOFAUTI NA KILICHOKUWA NDANI (HATUFANYI)
:
TUNAKUOMBA AMINI KILE TUNACHOKUPA HUTOJUTIA KUTAZAMA KONTENTI ZETU.
KILA VIDEO INAYOPANDA KWENYE TV HII INA THAMANI KWAKO.
"KARIBU S500 TV (THE DIGITAL CREATIVE CONTENT)
"ARDHI YA UBUNIFU NA MAPAMBANO"
YANGA YA CHAMA,AZIZI, PACOME, DUBE & MAX "SIMBA HAINGIZI TIMU ,MWALIMU YANGA ACHARUKA
YANGA YA CHAMA,AZIZI, PACOME, DUBE & MAX "SIMBA HAINGIZI TIMU ,MWALIMU YANGA ACHARUKA
Просмотров: 8 219
Видео
VILIO KARIAKOO MAANDAMANO WAGOMA KUFUNGUA MADUKA KISA KODI TRA NI BALAA
Просмотров 17 тыс.2 часа назад
VILIO KARIAKOO MAANDAMANO WAGOMA KUFUNGUA MADUKA KISA KODI TRA NI BALAA
UTACHEKA MBOTO ATAMBA NA PRINCE DUBE "AFUNGA BAO LA KIDEO & HERSI SAID
Просмотров 10 тыс.7 часов назад
Edit with InShot: v.inshotapp.net/invite
MWALIMU YANGA AVURUGWA NA PRINCE DUBE "BADO CHAMA KUWASHA MOTO "
Просмотров 4,2 тыс.7 часов назад
MWALIMU YANGA AVURUGWA NA PRINCE DUBE "BADO CHAMA KUWASHA MOTO "
MCHOME AMVULIA KOFIA PRINCE DUBE KUTUA YANGA NI SUALA LA MUDA TU JAMANI
Просмотров 10 тыс.7 часов назад
Edit with InShot:inshotapp.page.link/YTShare
MWALIMU & KISUGU KISA CHAMA KUTUA YANGA "WAKUNJANA TENA TAMBO ZA KUDWA MTU
Просмотров 9 тыс.7 часов назад
MWALIMU & KISUGU KISA CHAMA KUTUA YANGA "WAKUNJANA TENA TAMBO ZA KUDWA MTU
UTACHEKA! MBOTO AWATETEA WADADA POA "MADANGULO KUVAMIWA KWENYE NYUMBA ZA WAGENI"
Просмотров 1,3 тыс.14 часов назад
UTACHEKA! MBOTO AWATETEA WADADA POA "MADANGULO KUVAMIWA KWENYE NYUMBA ZA WAGENI"
GOD YANGA AWACHANA SIMBA KUFUNGIWA KWA AGGY SIMBA & DR. MO
Просмотров 3,5 тыс.День назад
GOD YANGA AWACHANA SIMBA KUFUNGIWA KWA AGGY SIMBA & DR. MO
SIKIA MRISHO NGASA AWACHANA SIMBA "FUKUZA FUKUZA, MIGOGORO YA VIONGOZI & MASHABIKI
Просмотров 273День назад
SIKIA MRISHO NGASA AWACHANA SIMBA "FUKUZA FUKUZA, MIGOGORO YA VIONGOZI & MASHABIKI
MWALIMU YANGA AVURUGWA NA KINZUMBI KUTUA YANGA "FUKUZA FUKUZA IMEANZA SIMBA
Просмотров 8 тыс.День назад
MWALIMU YANGA AVURUGWA NA KINZUMBI KUTUA YANGA "FUKUZA FUKUZA IMEANZA SIMBA
ALI KAMWE AJIBU USAJILI WA KINZUMBI KUTUA YANGA "SIO RAJA CASABLANCA?
Просмотров 22 тыс.День назад
ALI KAMWE AJIBU USAJILI WA KINZUMBI KUTUA YANGA "SIO RAJA CASABLANCA?
AHMED ALLY: MO ATANGAZA USAJILI "SERGE POKOU ,CHAMA , UHAKIKA MSIMU UJAO
Просмотров 2,2 тыс.День назад
AHMED ALLY: MO ATANGAZA USAJILI "SERGE POKOU ,CHAMA , UHAKIKA MSIMU UJAO
UTAPENDA! SHEREHE ZA UBINGWA WA SIMBA YA WANAWAKE, AHMED KUFURU
Просмотров 2,3 тыс.День назад
UTAPENDA! SHEREHE ZA UBINGWA WA SIMBA YA WANAWAKE, AHMED KUFURU
MWALIMU & KISUGU WAPIGANA KISA SIMBA NA YANGA, KUPANDA ULINGONI TAREHE 29
Просмотров 32 тыс.День назад
MWALIMU & KISUGU WAPIGANA KISA SIMBA NA YANGA, KUPANDA ULINGONI TAREHE 29
MWALIMU YANGA AMLIPUA FEITOTO "HAKUNA ALICHOFANYA UWANJANI LICHA USHINDI
Просмотров 3 тыс.14 дней назад
MWALIMU YANGA AMLIPUA FEITOTO "HAKUNA ALICHOFANYA UWANJANI LICHA USHINDI
MCHOME MSEMA KWELI ,SIMBA UONGOZI MBOVU, MCHOME & MWALIMU YANGA LUGHA MOJA SASA
Просмотров 3 тыс.14 дней назад
MCHOME MSEMA KWELI ,SIMBA UONGOZI MBOVU, MCHOME & MWALIMU YANGA LUGHA MOJA SASA
MWALIMU YANGA AVURUGWA SIMBA TRY AGAIN KUJIUZULU & AONDOKE NA MO DEWJI WAKE "MAJIPU"
Просмотров 3,8 тыс.14 дней назад
MWALIMU YANGA AVURUGWA SIMBA TRY AGAIN KUJIUZULU & AONDOKE NA MO DEWJI WAKE "MAJIPU"
BADO MANGUNGU AONDOKE "GB 64 AVURUGWA NA SIMBA ,TUMECHOKA BARBARA ANAKUJA
Просмотров 8 тыс.14 дней назад
BADO MANGUNGU AONDOKE "GB 64 AVURUGWA NA SIMBA ,TUMECHOKA BARBARA ANAKUJA
DOGO WA MIAKA 20 ANA MJENGO "GUMZO NI FREEMASON, AJIBU TUHUMA KAFARA ZAKE
Просмотров 87814 дней назад
DOGO WA MIAKA 20 ANA MJENGO "GUMZO NI FREEMASON, AJIBU TUHUMA KAFARA ZAKE
MWALIMU YANGA ACHARUKA MAPATO & MATUMIZI PASUA KICHWA YANGA
Просмотров 19 тыс.14 дней назад
MWALIMU YANGA ACHARUKA MAPATO & MATUMIZI PASUA KICHWA YANGA
GOD YANGA AVURUGWA NA MAPATO & MATUMIZI YA YANGA "SIMBA WATAJUTA MWAKA HUU"
Просмотров 4,2 тыс.14 дней назад
GOD YANGA AVURUGWA NA MAPATO & MATUMIZI YA YANGA "SIMBA WATAJUTA MWAKA HUU"
MJUMBE WA BODI YA YANGA AWACHANA SIMBA ,MO ANATAKA HELA ZAKE KIMEUMANA
Просмотров 38614 дней назад
MJUMBE WA BODI YA YANGA AWACHANA SIMBA ,MO ANATAKA HELA ZAKE KIMEUMANA
UJENZI UWANJA WA YANGA RASMI SERIKALI YASEMA "TUTAWAPOLA UWANJA"
Просмотров 1,5 тыс.14 дней назад
UJENZI UWANJA WA YANGA RASMI SERIKALI YASEMA "TUTAWAPOLA UWANJA"
MWALIMU YANGA AWAVAA SIMBA ,KIMENUKA MSIMBAZI MO KAWAKA FUKUZA FUKUZA
Просмотров 6 тыс.14 дней назад
MWALIMU YANGA AWAVAA SIMBA ,KIMENUKA MSIMBAZI MO KAWAKA FUKUZA FUKUZA
WAZEE WA YANGA WACHARUKA SIMBA KUFUKUZA VIONGOZI "SHIDA NI MO DEWJI ?
Просмотров 93414 дней назад
WAZEE WA YANGA WACHARUKA SIMBA KUFUKUZA VIONGOZI "SHIDA NI MO DEWJI ?
TRY AGAIN KAGOMA KUONDOKA ,GB 64 AWASHA MOTO "ATATOKA KWA GHARAMA YOYOTE NIMESEMA
Просмотров 22 тыс.14 дней назад
TRY AGAIN KAGOMA KUONDOKA ,GB 64 AWASHA MOTO "ATATOKA KWA GHARAMA YOYOTE NIMESEMA
ALI KAMWE AFUNGUKA DIAMOND KUMTAKA ASAINI WASAFI KWA GHARAMA YOYOTE "KILICHOFELISHA"
Просмотров 14 тыс.21 день назад
ALI KAMWE AFUNGUKA DIAMOND KUMTAKA ASAINI WASAFI KWA GHARAMA YOYOTE "KILICHOFELISHA"
UTAPENDA, ALI KAMWE: YANGA KUIBOMOA SIMBA USAJILI MPYA UTAMBULISHO UNAKUJA
Просмотров 13 тыс.21 день назад
UTAPENDA, ALI KAMWE: YANGA KUIBOMOA SIMBA USAJILI MPYA UTAMBULISHO UNAKUJA
ALI KAMWE AMCHANA FEITOTO UNAFELI HAPA ? AKUBALI AZAM WANA TIMU BORA
Просмотров 37 тыс.21 день назад
ALI KAMWE AMCHANA FEITOTO UNAFELI HAPA ? AKUBALI AZAM WANA TIMU BORA
MAPOKEZI YA KOMBE LA FA ALI KAMWE & JOB BANDARI YAFURIKA MASHABIKI WA YANGA
Просмотров 19 тыс.21 день назад
MAPOKEZI YA KOMBE LA FA ALI KAMWE & JOB BANDARI YAFURIKA MASHABIKI WA YANGA
❤❤❤❤❤
YANGA tisha sanaaaaaaa
Serikali ya kukopa na Kodi zisizo na tija kwa wananchi aifai kutuongoza hii ni nchii tajili sana unapo acha kutumia vyanzo vya asili kuliko kuwabana wananchi hivi kweli ni haki
wasiliana na viongozi wa tawi utapata utalatibu wa kupata kitabu
Nisikilizenii watanzania TRA sio tatizo tatizo ni wawekezaji wa kihindi na kichina ndio wameharibu biashara tunashindwa kusimamia bei kwa sababu Yao wawekezaji Hadi wateja wamekuwa na kiburi
Tatizo la inchi zetu ziko ktk mfumo wa ukoloni mambo leo sasa unakuta serikali inanyonya raia wake
Nchi inamadini yakutosha wanachi bado tunaumizwa vya kutoxha
Ubongo wa kuku😂😂😂 jamani mboto hapana👐👐
Max nzingeli, ni "Timbwili" wa Dunia kila Kona ya uwanja yumo.
Je katika kitabu hicho amekumbukwa MH, ABASY GULLAMALI?.
Kwa tulioko mwanza tutavipata vpi hvo vtabu
Tatizo wafanya biashara tufate utaratibu kuanzia bandarini...tuache janja janja ya kudanganya thaman ya mzigo ndio maana mkikamatwa watu wanawageuza dili...lakin km mzigo wako ni halali huez kuogopa..kukamatwa...tulipe kodi bila shurut ili tuwe na haki ya kudai serikal maisha bora...
Nakukubar sana mwlm yanga,
Yani ujinga mtupu binadam sasa unafunga duka mazigo yako yaoze duuuuh kweli akili ya kuchangiwa haifai watu wajitambue
Mzee samwel anajua kujieleza❤
Chalamila umewachekea sana hawa futa leseni za wanaogoma tuone hiyo mizigo wataiuzia wapi
Uyu mzee apewee ulinziii
Kuna kitu ambcho kinasumbua Nchi hii ni hiki ni Taifa lisipokuwa na usawa kwanza hatujitambua tuko kwenye uchumi gani tumefika mahali serikali kuamini uchumi ni biashara kutoka nje ndio ujenge Nchi ni kufilisika kwa Nchi na viongozi wake Viwanda viko wapi, Kilimo kiko wapi, nini tunazalisha hii Nchi hakuna ili kuuza tuuingize ela ya kigeni Dollar n.k tunakokopa wao wametoa wapi hizo utakuta ni Taifa limejiimarisha kiviwanda watu wake wanajitambua wanatoka wapi wanakwenda wapi hapa tuna ujinga Gesi iko wapi, Madini yako wapi, Utalii, Maziwa, bahari,
Shida kubwa ya srikali na watumishi wake ni choyo kwa wananchi wao. Kwanini na kwa haja gani mfalme au viongoxi wakuu kuwa wanafiki , wao ni kuonesha mfano wa upendo lakin Rai C ni aduwi kwa watu
mzee kama mrevi ila yuko vzuri sana kuliko viongozi baadhi
dada akili huna wendoulikuaga unakaa dawati la mwisho shuleni
tanzania inatia huruma kwa kweli
iyo ndio elimu tegemezi serekali imekosa mipango yakufanya inapora watu kwanguvu watu wanasoma hawanakazi zakufanya ndio wanajiriwa tra wanakujakukuzulumu wewe uliejiajiri lazimatutafakari hawa ccm watatumaliza watanzania tuachewoga tudai hakizetu
Mzee Yuko vizuri. Mzee anasema, "ndiyo, acha nisote leo, kesho kutakucha lakini wafanyabiashara wana haki ya kugoma. Ushuru na kodi ni kubwa mno.."
Hii nchi inahitaji kua koloni la Mrussia tu maana mikopo mingi kodi nyingi yani bora iwe tanzania nzima
MAJIBU MAZURI SANA. HII NDIO AKILI YA KUZALIWA SASA
Kodi zinanyesha Kama mvua za masika wafanya biashara wamepata mafuriko ya mgomo, kukupa Kodi ni razima ,ulipe ,lakini kwa Haki siyo kwakuonewa ,na wenye taamaa Ya kutaka lushua
RC omba ushauri kwa Makonda akili nyingi😂😂
Fungeni tu kumamamake kama hamjalala na njaa
Ikifika kesho wenyewe watafungua chezea njaa
Aliye shika nchi ni mkulima sio mfanya biashara, wote tunategemea kula kwanza ndio mengine yafuate
..aseee sikutegemea kama huyu mzee anakuaga serious 😂😂
MAKONDA PEKE YAKE NDIE ANAEIWEZA DAR angetatua fasta tu
HIVI MHESHIMIWA SAMIA NN KINAMSHINDA KWENYE UTAWALA WAKE KILA SIKU WAFANYA BIYASHARA WANA LIA MBONA ALIFANYA KAZI NA MAGUFULI MDAA MREFU AMA ALIKUWA ANAONA MAGU ANAJIPENDEGEZA KWA WAFANYA BIYASHARA RAIS AINGILIE KATI MWENYEWA WAZIRI WAKE WA FEDHA NIPIGAJI SANA CHEMBA AMEZIDI NDIO MAANA MAGU ALIMTUMBUWA
Yataisha tu
Nilikuja sitaki kukoment lakini imebidi nikoment apo mboto alisikia Adhana na kuheshimu weto huu alla akulipe kwa Hilo ulilolifanya
Tulishangiria sana mambo ya bandari.
Shida…ukitoa mzigo bandarini unalipa Kodi…mzigo Ukifika dukani wanataka Kodi…ukiuza kwa Mteja wanataka Kodi…sasa biashara gani hiyo??
Huyo boss wa TRA si aondolewe alishachuma nyingi hata kule wizara ya ardhi alipata za kutosha.
" KILA MOJA ALE NA UREFU WA KAMBA YAKE"!!
Daaaaah tutamkumbuka acnle wetu magu
Magu alisisitiza kudai risit hata yeye angekuwepo asingekubal wafanya biashara hawalipi kodi wakikamatwa kulipa fain hawatak
Tatizo TRA ndiyo chanzo cha matatizo yote,ni wavivu wa kutafuta chanzo vipya vya mapato yaliyopo Kenya yanakuja Tanzania
Mzigo ukitoka dukani ni mteja anafaa kulipa TRA TAX (VAT)sio mwenye duka
Mteja analipia kodi pale dukani anachotakiwa kuwa nacho ni risiti
@@munuoisaack418 kwa mfano kijiko ni shilling 1000( mfanyi biashara kaeka na faida yake) iyo kodi ya 18% ni mteja anafaa kugharamia ambayo jumla ni Tsh 1180 sababu mfanyibiashara alishalipia kodi bandarini Kwa ufupi iyo 18% pale ofisini uwa ni ya mteja kulipia wala sio ya mfanyibiashara, shida ni wafanyibiashara wanachanganya faida na kodi
Ni sahihi uelewa ni muhimu
Mbona inalipwa ukiagiziza mzigo njia halali
Ushauri wangu Selikari itoze VAT bandarini na viwandani alafu sisi wadogowadogo tukadiliwe kodi ya kawaida, huu ndio utakuwa muarobaini kamili
Kuna na PHD huko serekalini katika UCHUMI !!
Huyo dogo wa mwisho kumuhoji anaonyesha wazi kua wafanyabiashara wengi hawapendi kulipa kodi japo serkali pia ianumiza sana wafanyabiashara kwenye kodi
Hivi huyu mwigulu yeye kapata ela wapi yakumuwezesha kumiliki timu ya mpira ? Kama hujui ndiyo hayo anayofanya
Timu tu inasemekana mabasi ya Ester yote ya kwake.
Mzee uko sawa sana❤❤❤
Mzee apewe maua yake❤❤❤
Bandari inafaida gani kuuswa alafu namakod tupandishiwe kila upande
Mzee anaongea vzr sana akija dukani kwandu ananyongexa yake yamxigo maana anamaumifu namakod tunayyo pandishiwa napia anaakili yakibiashara kwakila upande